• Contact us |
    • FAQ |
    • Opinions |
Health System Strengthening Resource Center

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Health System Strengthening Resource Center

  • Home
  • About Us
    • Background
    • Mission & Vission
    • Objective
    • Roles & Function
    • HSSRC Team
  • Administration
  • Services
    • Training
    • Research & Consultancy
    • eLibrary
  • Publications
    • Guidelines
      • Health Financing
      • Information Managment
      • Service Delivery
        • Curative
        • Preventive
        • Medicine logistics
        • Infrastructure
        • Social Welfare
        • Nutrition
      • Medical Products,Vaccines & Technology
      • Leadership / Governance
      • Human Resources
    • Reports
      • National Survey Reports
      • Financial & Audit Reports
      • Health Sector Reports
      • International Reports
    • Circulars
    • Polices
    • Presentations
    • Journal articles
    • Acts and Regulations
      • Health Related Acts
      • Non Health Related Acts
  • Media Center
    • News
    • Announcements
    • Gallery
    • Videos
  • Take Actions
    • Financing
    • Service Delivery
    • Human Resouces
    • Leadership / Governance
    • Infrastructure
    • Information Managment
    • Medical Products,vaccine & Technology
  • Submit Innovation
  • Conferences
    • Annual Medical Meetings

Sekta mbalimbali zatakiwa kushiriki kupunguza magonjwa yasiyoambikizwa nchini

Posted on: January 19th, 2019

Sekta zote nchini zatakiwa kushiriki katika kudhibiti magonjwa yasiyoambukizwa ili kuisaidia jamii katika kujiepusha na madhara makubwa yanayojitokeza   na kupunguza gharama kubwa zinazotumika kwa matibabu.

Hayo yamesemwa na wadau wa afya wanaojishughulisha na magonjwa yasiyoambukizwa kwenye Kikao  cha  tathmini  ya utekelezaji wa mpango Mkakati wa mwaka 2015/2020 wa udhibiti wa magonjwa yasiyoambukizwa  na kutoa  mwelekeo wa nini kifanyike  kwa sasa na baadaye kiichofanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa , Jijini Dodoma

 Wakichangia mada ya nini kifanyike kupunguza magonjwa yasiyoambukizwa wadau hao wamesema Serikali  inajukumu ya kuhakikisha huduma  za afya  zinaboreshwa kwa kujenga miundombinu ya msingi, kufanya utambuzi wa haraka wa magonjwa  na  kutoa tiba kwa wakati kwa  jamii  ili kudhibiti  magonjwa hao.

Akifafanua zaidi Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt.  James Kiolowe amesema kuna haja ya kushirikisha Sekta mbalimbali katika kupunguza changamoto mbalimbali zinazosababisha magonjwa yasiyoambukizwa nchini ili kila mmoja awe na jukumu la kulinda afya za jamii nchini.

“Umefika wakati Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa kuwa wao ni watunga sera washirikishe Wizara nyingine kama Kilimo, ardhi, Mazingira ili kuhakikisha wanahusika katika kutatua changamoto za afua za afya na kupunguza magonjwa yasiyoambukizwa nchini “Anasema Kiolowe

Wakati Huohuo Dkt. Msafiri Kabulwa kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto ameitaka jamii kushirikishwa kwa kina juu ya madhara yatokanayo na magonjwa yasiyoambukizwa nchini ili kupunguza vifo vya vijana na watoto ambao wengi wamekuwa wakiadhirika na magonjwa hayo.

“Ufike wakati jamii ishirikishwe kikamilifu katika kuhakikisha wanadhibiti magonjwa ili kupunguza vifo kwa jamii. kwa kuwa kinga ni bora kuliko tiba ” Anafafanua Kabulwa

Naye Katibu wa Chama cha Kisukari Tanzania Prof.Kaushik Ramaiya   amesema kuwa upo umuhimu wa jamii kupatiwa elimu juu ya madhara yatokanayo na magonjwa yasiyoambukizwa, hii itasaidia kupunguza vifo na gharama ya matibabu kwa jamii.

“Wananchi wamekuwa wakitumia gharama kubwa katika kutafuta matibabu ya magonjwa yasiyoambukiza wakati elimu ndio msingi wa kuwasaidia kujikinga na Maradhi mfano jamii inatumia gharama kubwa sana kumtibu mgonjwa mwenye kisukari kuliko kuzuia ugonjwa huo.”Anafafanua Profesa Kaushik

Aidha Rais wa Chama cha madaktari wa meno Tanzania Dkt. Ambige Mwakatobe amesema kunaumuhimu wa jamii kuhakikisha wanafuata ulaji wa vyakula  vinavyofaa ili kupunguza magonjwa yasiyoambukizwa kama vile kisukari na kansa.




Announcements

  • Call for applications for the TDR Postgraduate Training Scholarship in Implementation Science for the 2022 Academic Year (starting January 2022) May 16, 2021
  • Free Online IMF-Public Financial Management Course May 18, 2021
  • ARISE-PP Grants: Call for Expressions of Interest June 25, 2021
  • APPLICATION FOR THE SWEEDEN 2021 SCHOLARSHIP PROGRAM IS OUT. July 12, 2021
  • View All

Latest News

  • TUNZENI VIFAA VYA AFYA VILIVYONUNULIWA NA SERIKALI - DKT. MAHERA

    March 30, 2023
  • WAUGUZI NA WAKUNGA WATAKIWA KUSIMAMIA MAADILI YA KAZI

    March 13, 2023
  • DKT. DUGANGE AAGIZA UCHUNGUZI KUFANYIKA HOSPITALI YA WILAYA ARUSHA, UPOTEVU WA MAPATO NA DAWA

    March 08, 2023
  • SERIKALI KUSOGEZA HUDUMA ZA AFYA TARAFA ZOTE

    March 02, 2023
  • View All

Video

Hospitali ya Uhuru Dodoma
More Videos

Quick Links

  • elearning.moh.go.tz
  • About Us

Related Links

  • Line ministry
  • Regions
  • Councils
  • Development partners
  • Institutions & Agences
  • Development Partners Group Tanzania (DPG)

World visitors tracker

world map hits counter

Contact us

    PO-RALG

    Postal Address: 1923

    Telephone: +255 26 232 1 234

    Mobile: +255 735160210

    Email: james.tumaini@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Writingmasterthesis.com

    • FAQ
    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.